Kumvumilia Mwanaume Asiyekupa Nipa Hela Nacho Kipaji....Mimi Nimeshindwa Walahi!

Naitwa Fatuma Kutola Mwananyamala, kwa hili mimi sijui ila nikipata Mwanaume asiyenihonga sioni raha ya mapenzi hata kidogo, Yaani Mwanaume akinitongoza alafu akionekana hana mwelekeo wa kunipa hela simpi papucha, nasikia wadada wengine wanavumilia na wanaume wasiowapa hela eti sababu wazuri kisura sijui wanawaita Ben ten sikuhizi...yaani kwangu hata uwe mzuri kivipi bila hela ni Big Nooooooooooooo.......Yahitaji moyo aiseeee au nina kasoro?

Comments

Popular posts from this blog

JINSI YA KUMFANYA MWANAMKE AKOJOE HARAKA WAKATI WA TENDO

JINSI YA KUMKOJOLESHA MWANAMKE KWA HARAKA

JINSI YA KUMFANYA MWANAMKE ASIKUSAHAU KATIKA TENDO LA NDOA