JINSI YA KUMKOJOLESHA MWANAMKE KWA HARAKA


Kama upo kwenye uhusiano wa mapenzi na mwanamke ambaye ana matatizo ya kutofika kileleni au hajawahi kufika mshindo na kuishia kusikia kwa mashoga zake kuwa mapenzi matamu, bila shaka akikueleza hili kabla ya majambozi mtaishia wote kuchanganyikiwa kisaikolojia na hatimaye gemu lenu likawahalina majambozi yaani mtacheza chini ya kiwangoi kuytokana na hofu kutawala. Katika hali ya kawaida kama mwanamke atashindwa kufikishwa kileleni na ampendaye basi hukosa hamu ya kufanya tendo siku nyingine anapohitajika kutoa penzi na hata akikubali kufanya basi hufanya kwa kutimiza wajibu kwani huwa hajui utamu wa majambozi, na mwanaume anayeshindwa kutotosheleza mpenzi wake kwa kumpa dozi inayostaili hadi kusikia utamu usiosimulika huyo uwezo wake huwa ni mdogo ambapo mimi huwa napenda kumuita jogoo. Ndiyo je, unashangaa nini ushawahi muona jogoo alivyofasta kumaliza haja zake za mwili na kumuacha tetea akijiuliza anarudi tena ama ndiyo kaenda maana tetea hubaki kachutama akizani jamaa atarudi kumbe ndiyo imetoka babakeee! Kimsingi mahusiano mengi yamevunjika kama siyo kutawaliwa na usaliti kutokana na tatizo hili hivyo kama wewe ni mwanaume, mwanamke au ni wapenzi ambao mmedhamiliya kujifunza jinsi ya kumfikisha kileleni mwanamke na kumfanya ajisikie furaha ya ajabu ambayo wanawake wachache tu duniani huipata kwa vidume vinavyojua kujishughulisha kunako sita kwa sita yaani namaanisha wanaume wasio wabinafsi kunako majambozi, tafadhali soma makala haya kwa umakini kisha nenda kayafanyiye kazi haya nitaninayokueleza:-

HATUA YA KWANZA: USIMPRESHE WALA KUJIPRESHA!
Kadri mwanamke anavyojitahidi kuvuta hisia na kujishughulisha kwa namna moja ama nyinyingine kuweza kuinua hamasa yake ya mapenzi ili kuhakikisha anafika kileleni, ndivyo atakavyoweza kusikia raha ambayo humuwezesha kufikia mshindo.

Amini usiamini hata wanawake ambao wao wakishikwa kidogo tu kwenye kipengele G yaani g-spot na kupigwa katelelo kwa dk 1 hufika kileleni pindi wanapokumbana na presha kutoka kwa wapenzi wao basi hushindwa kufikiakwenye kilelecha raha hata kama mwanaume huyo atadumu kwenye uwanja wa mapambano kwa dk 30! Mwanamke yoyote yule anapokumbana na presha zisizo na sababu toka kwa mwenza wake dakika chache kabla ya majambozi au kwenye uwanja wa malavedave basi hushindwa 'kupizi' kwani hata kama wazungu (bao) wakiwa wanakuja na dume likaanza kumpandisha presha wazungu hurudi kwao! Hali hii haiwakumbi wanwake tu bali hata wanaume hushindwa kuwajibika vema faraghapindi wanapokumbana na presha zahapa na pale toka kwa wawapendao.

Hivyo basi wewe mwanaume ili uweze kumfikisha mwenza wako kileleni unapaswa kuhakikisha unaacha kumuuliza unakuja? siju la azizi unakaribia kukojoa? au mpenzi nakufanya vizuri? unajisikia raha? nakukamua vizuri kuliko ....(unamtajia mpenzi wake wa zamani)? Njia mbadara yakukabiliana na presha ni kutoelekeza fikra zako kwenye kupiga mabao, fuarahia mchakato mzima wakufanya mapenzi bila shaka unatambua kuwa mapenzi yanayolenga kufurahishana/kupena traha nyote huhitaji kufuata process zote muhimu na hayataki mapenzi ya kuu yaani yaani unamnyatia mpenzi wako na nadni ya dk 3 umeshamsaula na kumkamua na gemu linaisha mwanamke wa watu hata hisia hazijamuamka kidume uko pembeni unatweta yaani mipumzi ya mmmmh kibao, tumia muda wakutosha kutomasana na katika kipindi hiki cha kuandaana ndipo unapohitaji kuhakikisha unamaliza presha zote mlizonazo.

Hatua hii ya kwanza ukiitekeleza basi unaweza ukabadilika katika mtazamo wako juu ya kufanya mapenzi kwani wanaume wengi huwaza kukamua bao zaidi ya mojawakiamini kuwa kwa kufanya hivyo wanamfikisha mwanamke kituambacho nsi kweli kwani mwanamke unaweza ukamkojolea hata bao 7, lakini ukashindwa kumfikisha hivyo kama utaweza kutoa wazo la bao ngapi leo namchapanazo na kuondoa presha pindi mnapokuwa faragha, unawezakushikwa na butwaa kwa jinsi mtoto wa kike atakavyokuwa anakulalamikia kwa raha anayoipata kitandani na kwa mara ya kwanza unaweza kusikia akikwambia nakuja dear......usiniulize anakuja wapi kudadeki!

.”

You can help Special Needs Children with your used car donation. Donate used cars... avoid the hassle of selling it! You will receive a call within 24 hours. Free, easy pick up. Click on the 'Donation Form' below to begin the process.

Comments

Popular posts from this blog

JINSI YA KUMFANYA MWANAMKE AKOJOE HARAKA WAKATI WA TENDO

JINSI YA KUMFANYA MWANAMKE ASIKUSAHAU KATIKA TENDO LA NDOA