MUME WANGU ANATAKA TUFANYE MAPENZI NA WAPENZI WENGINE KWA PAMOJA (GROUP)

Mimi na mume wangu tuna uhusiano murua kati yetu, hatuna tatizo kitandani vilevile. Hata hivyo ana wazo hili la kiwazimu la kuwaingiza wanawake wengine katika shughuli yetu ya kupigana miereka ili kuboresha mambo.

Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 52 na ninahisi majaribio kama hayo –ya wapenzi watatu au wane kusakata dimba kwa wakati mmoja – huenda yakaharibu uhusiano wetu.

Hatahivyo, mpenzi wangu anasema anaweza kutenganisha mapenzi na kitendo cha ngono. Lakini kwangu siwezi kustahimili kumwona na mwanamke mwingine na Mume wangu wakisakata dimba. 

 Sitaki kuzuia shauku za mume wangu na nimejaribu kujihakikishia kwamba naweza kustahimili hili. Lakini sehemu ya moyo yangu inahisi kwamba hii ni kunivunjia heshima.

Isitoshe, anasema iwapo siko tayari, angependa kufanya hivyo pekee yake.

Nahisi kukwazwa moyoni, sijui nifanye nini....Naombeni Ushauri

Comments

Popular posts from this blog

JINSI YA KUMFANYA MWANAMKE AKOJOE HARAKA WAKATI WA TENDO

JINSI YA KUMKOJOLESHA MWANAMKE KWA HARAKA

JINSI YA KUMFANYA MWANAMKE ASIKUSAHAU KATIKA TENDO LA NDOA