Unaambiwa Hakuna Madhara Kisayansi Kujamiiana na Mwanamke Akiwa Hedhi


Kisayansi hakuna madhara kujamiiana na mwanamke akiwa kwenye hedhi kwani kufika kileleni hupunguza maumivu na idadi ya siku za hedhi. Hii ni kwa sababu wakati mwanamke anapofika kileleni misuli ya nyumba ya uzazi hujikunja na hivyo tando laini (hedhi) hujinyofoa na kutiririka.

Kwa wale wanawake wenye tatizo la kipanda uso (migraine) kinachojitokeza zaidi wakiwa kwenye hedhi hupata ahueni wakifanya tendo hilo kipindi hicho.

Pamoja na kushiriki tendo hilo kuna faida hizo lakini kunaongeza hatari ya maambukizi kirahisi ikiwamo VVU, virusi vya homa ya ini na magonjwa yanayoenea kwa kujamiiana na kugusana na damu

Comments

Popular posts from this blog

JINSI YA KUMFANYA MWANAMKE AKOJOE HARAKA WAKATI WA TENDO

JINSI YA KUMKOJOLESHA MWANAMKE KWA HARAKA

JINSI YA KUMFANYA MWANAMKE ASIKUSAHAU KATIKA TENDO LA NDOA