MLELA ANASWA NA MREMBO


UTAWAAMBIA nini watu! Mwigizaji kunako kiwanda cha filamu Bongo, Yusuph Mlela amenaswa na mrembo mpya na baada ya kubanwa ameomba mpenzi wake wa sasa, Anastazia Exavery ‘Ebitoke’ amvumilie tu. Mlela alinaswa na mrembo huyo juzikati kwenye sherehe ya kuzaliwa kwa staa wa Bongo Movie, Aunt Ezekiel ambapo alipobanwa kama ni shemu mpya mjini, alisema ni rafiki yake tu.

“Unajua Ebitoke asipojikaza atakuwa hajielewi kabisa kwa sababu nina marafiki wengi wa kike, hivyo ajikaze tu na akinifuatilia anaweza kujinyonga,” alisema Mlela.

Comments

Popular posts from this blog

JINSI YA KUMFANYA MWANAMKE AKOJOE HARAKA WAKATI WA TENDO

JINSI YA KUMKOJOLESHA MWANAMKE KWA HARAKA

JINSI YA KUMFANYA MWANAMKE ASIKUSAHAU KATIKA TENDO LA NDOA