NINA UGONJWA WA KUPENDA WANAWAKE, NAWEZA KUFANYA LOLOTE ILI NIMPATE


Hili jambo kipindi cha nyuma sikuona kama ni tatizo lakini sasa naanza kuona ni tatizo. siku nimekaa nikapiga mahesabu ya idadi ya wanawake nliotembea nao ni zaidi ya 500 hao ndio ninawakumbuka. huwa nachanganyikiwa kabisa nikiona mwanamke....sijafaham kama nilirogwa au ni nini. nimetembea mikoa kama 8 hivi tanzania huko nimeacha kilio tu maana nimepiga mahesabu nina watoto wa nje mpaka sasa 17. moja ya tatizo langu kubwa huwa sipendi kabisa kutumia kinga.

naweza nikatumia kinga bao la kwanza ila ujue kuendelea hapo yaani huwa navaa natumia baaaye naichomoa ili nipige issue kavu baada ya saa moja au mawili ndo naweza kumaliza. nikivaa kinga ndo inaweza ikafika kesho. wanawake wameshanijua yaani wakitaka pesa wananionesha tu k zao..wakionesha basi naishiwa nguvu yaani hata nikiwa na hasira vipi nikioneshwa K.U basi naachanganyikiwa nakuwa kama bwege tu.

nakumbuka kuna siku moja nlikuwa na dada mmoja room kwake tunapiga story huku tunaangalia movie..mara ikaja sehem ya movie wanafanya tendo hilo la ndoa.nikajawa na hamu ile mbaya nikaanza kumuomba yule dada...yule dada alinambia hawezi nipa maana sijatulia kabisa. tena mbaya zaidi akanionesha kuwa unaiona hii....huku akifunua na kunionesha hakuwa amevaa nguo ya ndani. akanambia unaiona hii??? sikupi hata kidogo we hujatulia" siku ile nililia sana kulilia anipatie ile issue...nlilia kama masaa matatu hivi na nikamwambia yule dada achukue kadi yangu akachukue pesa zooooote zilizopo kwenye account yangu akirudi anipe... akagoma akasema kama nipo serious basi nimrushie pesa kwenye simu yake. nikaangalia kwenye account nlikuwa na 450,000. nlimrushia ndo akanipa issue. nlipomaliza ndo akili ilinirudia nlijilaumu sana maana nlimpa pesa yangu yooote. mwezi mzima niliteseka.

siku nyingine nliahirisha safari kabisa kumkimbizia dada mmoja ambaye alikuwa anaishi buguruni kwa mnyamani nlimfutatilia toka mwenge wakati mimi nlikuwa naenda mbezi.ilibidi niahirishe safari yangu nimfate mpaka kufika buguruni kwa mnyamani yule mtoto ndo akakubali tukae sehemu tule chips kuku ndo tuwekane sawa.

sasa nawaza nifanyeje jamani pamoja ya kuwa ndo udume wenyewe lakini daaaah mwenzenu napenda sana kukuchi. napenda ,napenda napenda...na nikiona nachanganyikiwa kabisa hata siwezi kufikiri vizuri.

By Brian

Comments

Popular posts from this blog

JINSI YA KUMFANYA MWANAMKE AKOJOE HARAKA WAKATI WA TENDO

JINSI YA KUMKOJOLESHA MWANAMKE KWA HARAKA

JINSI YA KUMFANYA MWANAMKE ASIKUSAHAU KATIKA TENDO LA NDOA