JAMAA AJIGAMBA KUWATIA MIMBA MAPACHA

Jamaa mmoja kutoka Marekani amevunja rekodi baada ya kufanikiwa kuwatunga mimba dada wawili mapacha ambao wote walikuwa wapenzi wake.

Kwa kawaida, wanawake wengi hujawa na wivu sana hasa wanapogundua mpenzi wao yuko na uhusiano wa kando wa kimapenzi ila kwa dada hawa mapacha, hiyo sio hoja hata kidogo.

Dada wawili mapacha wapachikwa mimba na mwanaume mmoja

Kulingana na picha zilizochapishwa mitandaoni na mpenzi wao, ni wazi kwamba Dada hao wanafurahia sana kuwa na mume mmoja.

Jamaa huyo ambaye alitambulika kama Banks, hakuficha furaha yake mitandaoni kwani alijigamba jinsi alivyo gwiji kitandani na anastahili kupongezwa.

Comments

Popular posts from this blog

JINSI YA KUMFANYA MWANAMKE AKOJOE HARAKA WAKATI WA TENDO

JINSI YA KUMKOJOLESHA MWANAMKE KWA HARAKA

JINSI YA KUMFANYA MWANAMKE ASIKUSAHAU KATIKA TENDO LA NDOA