Wanaume Mnaoingia Chumvini Kwa Mwanamke Mna Roho Ngumu Hata Bomu Mnaweza Meza



Mimi nachukulia kitendo cha kuingia chumvini kama kujitoa mhanga, unahitaji ujasiri wa juu sana kujitoa mhanga, kutembea na bomu mfukoni au kujifunga suicide belt.

Wanaume wenzangu mnaoingia chumvini mnaweza kujitoa mhanga kwa urahisi sana maana sidhani kama kuna ujasiri mwingine unahitajika wa kujitoa mhanga zaidi ya ujasiri unaohitajika kuzama chumvini.

Mimi binafsi heri nife kwa kukaangwa kwenye mafuta ya transfoma kuliko kuzama chumvini.

Wanaume mnaozama chumvini ni rahisi sana kwenu kujitoa mhanga, ujasiri mliona wa kuzama chumvini tena wengine wanazama mwanamke akiwa period na wengine wanaenda mbali zaidi wanaruka ukuta kuingia kule kunakotolea uhalo na unakuta mtu anaharisha ni ujasiri mkubwa kuliko ujasiri wowote niliowahi kuona.
.
Hivi ni ushamba /ujanja kuzama chumvini... Tuelezane Hapa jamani .
By K. Mgayaye 

Comments

Popular posts from this blog

JINSI YA KUMFANYA MWANAMKE AKOJOE HARAKA WAKATI WA TENDO

JINSI YA KUMKOJOLESHA MWANAMKE KWA HARAKA

JINSI YA KUMFANYA MWANAMKE ASIKUSAHAU KATIKA TENDO LA NDOA