MAHAKAMA KUU YA BOTSWANA YAFUTA SHERIA INAYOZUIA WAPENZI WA JINSIA MOJA


Majaji wa mahakama ya juu zaidi nchini wameamua kuwa sheria zinazoyafanya mahusiano ya kingono ya watu wa jinsia moja kuwa uhalifu zinakiuka katiba ya nchi na zinapaswa kuondolewa, katika kile kinachotajwa kuwa ni ushindi mkubwa kwa wanaharakati wa mapenzi ya jinsia moja barani Afrika.

Uamuzi huu ulipotangazwa mahakamani wanaharakati wa haki za mapenzi ya jinsia moja wali waliokuwa wamefurika mahakamani walililipuka kwa furaha, shangwe na vigelegele, kufuatia kupitishwa kwa sheria inayohalalisha mapenzi ya jinsia moja. Furaha yao ilionekana ndani na nje ya mahakama baada ya hukumu kutolewa:


Post a Comment

0 Comments