UNAPOTAFUTA MCHUMBA AU UNAPOTAKA KUOA HUWW UNAANGALIA KITU GANI?

1.Nidhamu.
2.Uvumilivu.
3.Unyenyekevu.
4.Ubunifu.
5.Kujiamini.
6.Mcha mungu.
7.Uwezo wa kufikiria.
8.Anayeenda na wakati.
9.Rafiki wa watu.
10.White flani hivi.
11.Ananipenda.
13.Anaipenda familia yake na yangu.
14.Mipango mkakati.
15.Ajue kusoma,kuandika na kuhesabu kwa Kiswahili vizuri.

NB:Zipo na nyingine ndogo ndogo.

Post a Comment

0 Comments