MATUMIZI YA KAROTI KAMA TIBA YA VIDONDA VYA TUMBO KURAINISHA NGOZI NA NAMAGONJWA MENGINE


Kuna vitu vinatuzinguka na tunavitumia tunavitumia kila siku kwenye maisha yetu ya kila siku bila kujua faida zilizomo ndani yake.mfano karoti; Mara nyingi karoti tunaitumia kama kiungo cha mboga lakini inafaida kubwa sana katika miili yetu.
Karoti ni tiba nzuri sana kwa magonjwa kama:
A: vidonda vya tumbo.
B: huziua saratani hasa yatumbo.
C: hutibu kibofu cha mkojo.
D: hutibu koo.
E: husafisha damu.
F: hupunguza kwa kiasi kikubwa tatizo la upungufu wa damu.
G: huondoa chunusi na mabaka usoni.
H: husaidia ngozi kuwa yenye afya na kuinawirisha.

JINSI YA KUTENGENEZA KAROTI KAMA TIBA
Mahitaji.
a: karoti  kg 1.
b: kifaa cha kutwangia au blenda.
c: maji lita 1.5 au 2.

Jinsi ya kutingeneza.
1: chukua karoti zioshe vizuri kisha zitwange au zisage kwenye blenda mpaka zilainike.
2: chemsha kwenye maji kwa muda wa dk 15.
3: ipua na ichuje kupata juice yake itakuwa tayari kwa matumizi.

Kwa vidonda vya tumbo, saratani na magonjwa mengine.
-  tumia nusu kikombe cha chai kila siku kwa muda wa siku90 mpaka 270 yaani (miezi 3 -6) kulingana na ukubwa wa tatizo wewe mwenyewe utakuwa unaangalia maendeleo yako.

Kwa chunusi, madoa na kurainisha ngozi ya u so.
-    nawa ile juice yake kila siku asubuhi kwa siku 5-7 mfululizo.
Ukiitumia vizuri kwa kufuata utaratibu karoti inasaidia sana wengi wamenifaika nayo.

Post a Comment

0 Comments