Hii story nimekuta inajadiliwa sehemu flani, nikaona si mbaya nikusogezee na wewe mdau.Jamaa anasema alikuwa Lodge na mpenzi wake wamejipumzisha.
Kumbe purukushani zao za chumbani zilikuwa zikitoka mpaka nje ya chumba, hali iliyomfanya mwanaume mmoja aliyekuwa chumba cha jirani ashindwe kulala.
Baada ya purukushani hizo, jamaa aliamua kuchomoka ili akape walau bia mbili tatu kujipooza huku akimfungia mpenzi wake na kutoka na funguo.
Yule mwanaume wa chumba cha jirani akaitumia nafasi hiyo kumgongea yule mwanamke akimtaka ampooze kidogo maana kawasikia.
Mwanamke hakufungua mlango, ndipo jamaa alipoamua kuandika barua yenye namba yake ya simu na kuipitisha chini ya mlango.
Mwanaume aliporudi akasimuliwa mkasa huo na kupewa hicho kibarua cha mshikaji wa chumba cha jirani.
Barua yenyewe ndo hii:
0 Comments