MWANAMKE WAKO AKIONYESHA DALILI AU TABIA HIZI ACHANA NAE HARAKA SANA




Mapenzi huleta upofu na kupotoka, hata pale unapogundua mabaya unaassume atabadilika kumbe inakuwa makusudi ya Mungu kukuonesha

1. Mwanamke ambaye anapenda uanaharakati.
"Mimi sipendi mtu anyanyaswe, mimi hawawezi nifanyia hivyo.”

“Mimi mwanaume hanipigi kofi"

Katika maongezi ukisikia maneno hayo ogopa sana.

2. Mwanamke ambaye haogopi walezi au wazazi.

"Tangulia nitakukuta kama umeshanishtaki.”

“Nilimwambia mama kuwa atakayepokea barua na mahali/maali ataolewa yeye.Kwani mi ndo msichana pekee mwambie akamuoe dada kama mnampenda sana mwanaume huyu"

3. Mwanamke mwenye marafiki wa Kiume wengi zaid ya wanawake

“Mimi sipendagi kampani ya wanawake maana hatupendani"

Huyo Muogope

4. Mwanamke anayeshindwa kujali muda hana care yeyote na wewe. Unasimama sehemu masaa matatu kumsubiri yeye anadhani neno SORRY linafuta mateso ulosimama masaa yote.

Huyo muogope

5. Ukikutana na washikaji yeye akawa muongeaji na kutawala mazungumzo , ogopa sana huyo

6. Mwanamke mkienda out akatawala bili

“Mnauzaje hapa?”

“Wahudumu mbona mnakaa mbali?”

HIZI HABARI KAMA HIZI ZINAPATIKANA KWENYE APP YA UDAKU SPECIAL DOWNLOAD APP YA UDAKU SPECIAL BLOG <DOWNLOAD HAPA>


“Hesabu vizuri wasituibie chenji"

7. Mwananke anayekunywa kinywaji kigumu yaani Konyagi Bapa. Hatari

8. Mara Nyingi unamkuta kaunta na Bia moja anailamba lamba tu!

Ogopa.

Thank me later

Post a Comment

0 Comments