Ushauri: Ninapenda Ngono Kuliko Kula, Natamani Wanawake Wote Wazuri Niwamiliki, Nina Shida Gani?

Kwa kweli wadau hii hali inanisumbua sana nikimuona mwanamke ana chura mkubwa, mzuri, macho makubwa huwa anabadilisha mapigo yangu ya moyo, kila mwanamke wa hivyo natamani awe wangu nimmiliki.

Huwa nipo tayari kufanya mapenzi mfululizo siku nzima na nguvu hizo ninazo, kuna kipindi nilikua nimepanga chumba ilikua saa 2;00-4;00 namsindikiza anaondoka saa 4;00-6;00 ameshaingia mwingine kisha anaondoka akiondoka saa 7;00-9;00.

Mwingine akiondoka atakaekuja saa 10;00 Hadi saa 12;00 akiondoka anakuja mwingine ambae atalala mpaka asubuhi na simpi gape ya kuonana na mama mwenye nyumba mwonekano wangu; mimi ni kijana mpole sana
ninapenda sana kufanya mapenzi na jinsi ninavyofanya ndivyo ninakua na nguvu sana nimeshawahi kufanya mapenzi korongoni kuna binti nilikua namsindikiza nikamsomesha tukaingia korongoni.

Mwingine tulikutana kwenye miti miti nikapanda nae hadi juu ya mti tukamalizana, mwingine tulikua tunapita karibu na mtoni nikamchukua nikambeba juu juu tukamalizana baada ya hapo siku nakutana nae kwenye mwanga alikua na makovu mwili mzima, na kuna mwingine kwenye choo cha public tulitandika majani chini na nguo tukamalizana.

Hii hali naikataa lakini hata nikiwa kanisani mawazo yangu ni ngono tu yaani nawaza ngono tu nifanyeje hii hali ipotee nikimuona mwanamke mwenye chura, macho makubwa, miguu minene naishiwa nguvu kabisa
wadau nisaidieni nini kimenipata?

Nipo katika chuo fulani hapa Mwanza, nachukua bachelor kila mwanachuo wa kike ninaemuona hapa natamani nimmiliki, kiufupi nimekua mlafi wa wanawake hadi wamama wa makamo ambao wanamngao kidogo.

Msaada wenu wazeiya.

Post a Comment

0 Comments