PUNYETO HUSABABISHA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA UUME MDOGO



Punyeto husababisha ukosefu wa nguvu za kiume na uume kuwa mfupi zifuatazo ni sababu kuu:

i🥕kudhoofisha na kuharibu mishipa ya uume ambayo hufanya uume kuwa na nguvu
ii🥕hudhofisha utendaji kazi wa mishipa ya ater ambayo ambayo ndio hutumika kama njia ya kusafirishia damu kupeleka kwenye misuli ya uume na ivyo kuufanya uume usimame
iii🥕punyeto hupelekea kuvuja kwa mishipa ya neva na hivyo kusababisha kufyonzwa kwa haraka Sana kila kila iingiapo ndani ya misuli ya uume na matokeo yake ni uume kusimama kwa mda mfupi Sana wakati wa tendo la ndoa
iv🥕punyeto huathiri mtiririko wa damu kwenda kwenye mishipa ya uume kwa sababu hudhoofisha misuli ya uume pamoja na mishipa ater ambayo ndio hutumika katika kusafirisha damu kwenda kwenye Hume
V🥕hujenga ukungu katika kiwanda cha uzalishaji manii  (mbegu za kiume)ambayo hudhoofisha manii na kusababisha joto la haraka pindi tu upatapo hisia ya mapenzi ndio unajikuta unakojoa haraka
DALILI ZA MTU ALIYE ATHIRIWA NA PUNYETO
i🌶uume kurudi ndani
ii🌶uume kusimama ukiwa legelege
iii🌶uume kusinyaa na kuwa kama wa Mtoto
iv🌶kufika kileleni haraka wakati wa tendo
v🌶kushindwa kurudia tendo round inayo inayofuata au kuchelewa kurudia ten do
vi🌶muda mwingini uume kusinyaa ndani ya uke wakati wa tendo la ndoa
vii🌶kutoa manii nyepesi zisizo na nguvu hata utokaji wake sio wa kuruka

Post a Comment

0 Comments