KWANINI MTOTO WA KIUME NI RAHISI KUSAHAU NYUMBANI KULIKO WA KIKE

Habari wapendwa, poleni na majukumu.

Naomba kuuliza ni kwanini baadhi ya watoto wa kiume wakishaondoka nyumbani kwa kuwa na familia yake au kuishi peke yake, huwa inakuwa vigumu kukumbuka nyumbani ukilinganisha na watoto wengi wa kike ambao mara nyingi hukumbuka nyumbani?

Toa Maoni yako

Post a Comment

0 Comments