Mara nyingi mabinti huchukua tabia za mama zao aidha kwa kurithi au kuadapt hivyo ni bora kabla ya kuoa mchunguze mama mkwe maana tabia yake ndo tabia ya mkeo mtarajiwa, kama mama mkwe anachepuka basi tegemea hata mkeo atachepuka ni vizuri pia kuchunguza jinsi wazazi wa mchumba wako wanavyoishi.
Suala usioe mwanamke ambae amelelewa na mama tu mara nyingi hawa wanakuwa na matatizo kwenye ndoa maana hutaka kujitawala kama mama zao.
Tabia ya mkeo ni tabia ya mama mkwe wako
0 Comments