Why women in Kenya remains single forever??

Age:18, amemaliza highschool, probably anadate the same Highschool guy
Age:19-21, ashajoin Campo, sasa hapa nkuwa exchange kuwa exchange, akona like 8 guys but not sure if she has a boyfriend
Age:21-25, ashajua pesa hapa, sahi anaangukia kisponsor, kinamtumia kumtumia ka bike ya wizi, akiget bol, anatemwa
Age:25-30, ame graduate akona mtoi, anasaka job, what she knows best ni kuita wanaume dogs
Age:30-35, ndio anagundua time imeanza kufade away, ma chali her age walishaoa now inabidi ameanza kusaka divorcees and widowers


Age:35-40, divorcee kumbe alikua anamdanganya apate mpango Wa kando, ashamdunga bol ya pili na yeye akarudia family yake
Age:40-45, 😂😂😂Uuuuuuuwwwiii, hapa kimeumana, fom ni kuzurura kwa ma Nabii na watu wote wa maombi apate chali yeyote amuoe
Age:45-50, hapa ju anajua ashabeat but akona doh, ni kuanza kutafuta vijana wadogo wadogo awapee pesa wamlungule
Age:50- above, ni kungojea kifo sasa akiwa solo, na kupambana na tumagonjwa funny funny, Diabetes, high blood pressure, finally boom! Anafika heaven kama amekua single forever

Am sure hiyo ni Eulogy ya mtu hapa na ameisoma 😂

Post a Comment

0 Comments