
Tukio limetokea kitaa mida ya jioni,Wanaume ktk harakati za kupark vyombo mda wa malengo kwa maboss,Mara kikapita kiumbe cha Mungu(Manzi)eneo tunalo park,design wote tumeelewa mapigo jamaa mmoja kihelehele(anajifanyaga Playboy) akamrukia manzi kutak kumuapproch daa! ghafla jama kapokea Matusi ya kufa mtu..tukabaki tunamcheka mshikaji..swali likaja je? siku limenitokea mimi tena public af kwa manzi ambae unamuona kama ni wa plan ndefu(ndoa).Je? Ww utachukua atua gan baada ya kutkanwa na crush wako public...
0 Comments