UKIJA KUMUOA MKE MBINAFSI USIJUTE YAKIKUKUTA HAYA

Ni kweli sifa kuu ya mwanaume ni kumtunza mke wake na watoto,lakini mwanamke pia anatakiwa kumsaidia mpenzi wake mambo yakikwama, Dunia ya sasa imebadilika.

Ni hivi

Nimekuwa na mahusiano na huyu dada kwa miaka mitatu sasa ni binti mzuri kitabia ananipenda na sio mgomvi, lakini karibuni nitamuacha sababu ni mtu mbinafsi na bahili

Nilimkuta hana kazi nikamtafutia kazi lakini hata nikiumwa hawezi hata kuniletea machungwa, ni mwanamke anaependa mimi kumcare lakini yeye huwa hanijali mimi napokwama, yaani ni mwanamke wa kwenye raha tu

Nikimtishia kumuacha mara nyingine huwa anataka kujiuwa inanibidi nipretend tu kuwa mapenzi yetu yana uhai, lakini nataka kumuacha kimya kimya, mwanamke mbinafsi nikiowa itakuja kuniletea shida, nikipata hata majanga najua na ndoa ndio itakuwa imekufa

Kuowa mwanamke mbinafi asiyeweza kujitoa kwako, ni kujiletea majanga ya baadae, mwanamke bahili kwa dunia ya sasa ni janga, ukiowa jihesabie maumivu

Post a Comment

0 Comments