Habarini zenu mimi naitwa SEME nipo makete natafuta mke wa kuoa sifa :-
-Awe na hofu ya mungu
-Awe na chura aka mzigo
-Awe na swaga kali kwa maana me naendaga maeneo nakutana na watu wa maana.
-Elimu ya kidato cha nne.
-Awe na kazi sitaki kuombwa hela
-Asiwe na bwawa
-Asiwe singo maza
-Awe mweupe.
-Asiitwe happy au rozi hawa waliwahi nisaliti.
Kwa mawasiliano njoo pm hapo chini ni picha yangu.
0 Comments