FAHAMU JINSI YA KUPANGILIA KUZAA MTOTO WA KIUME

Wakuu habarini!!!

Leo nimeamua kukushirikisha katika mjadala huu kuhusu siku gani mtoto wa kiume anaweza tungwa kwa kufata njia ijulikanayo kama kalenda.

Siku zote mwanamke huwa na siku 28 katika mzunguko wake wa hedhi,hivyo basi siku zake huwa zimegawanyika katika makundi kundi.

Kundi namba moja ni siku za hedhi,ambazo uchukua siku tano kwa mwanamke asiekuwa na matatizo 1--------5 ila wengine huwa damu inakata kwa siku tatu na wengine mpaka siku saba ambayo kisayansi mwanamke anaefikisha siku saba huwa na mattizo katika mzunguko wake uenda hata mimba asipate.

2.kundi la pili uchukua siku 6--------10.kitaalamu ujulikana kama siku salaama sana,yaani mwanamke akitoka hedhi tu anaweza Fanya mapenzi bila kupata mimba.

Kundi la tatu ni siku hatari ambazo kwa kawaida ndo mimba utungwa.uchukua siku ya 11-------17 toka siku ya hedhi. hizi siku huwa ni hatari San katika mzunguko wa mwanamke hasa siku za tarehe 12,13,14,15 hizi siku ndo hatari na hapo ndo mtoto wa kiume utungwa.

Mtoto wa kiume utungwa hasa siku ya 13 au 14 kwani bengu zinazoingia kwenye mfumo wa uzazi kutoka kwa mwanaume ni begu mbili ya kwanza ni "x" ambayo huwa ni mbegu za kike na "y" amabazo huwa ni bengu za kiume

Mbegu za kiume ukimbia sana kuwai yai katika mfumo wa uzazi ikilikuta yai halipo katika mfumo wa mwanamke ukaa pale nje na kusubili kwa Massa 48 yaani siku mbili.

Lakini mbegu za kike uenda taratibu wakati wa kufata yai.hivyo basi ukaa kwa muda mwingi kulisubili yai yaan siku siku mbili na nusu hadi siku tatu.

NJINSI YA KUZAAA MTOTO WA KIUME????

Itaendelea soon!

Zingatia, Nitakuletea picha tumbo la kike na kiume yanavyokuwa wakati mimba ishatungwa.View attachment 1107954

Post a Comment

0 Comments