Sababu zipi Hasa zinazopelekea Kufanya Mapenzi Kwenye Gari?

Nimepatwa na mshtuko baada ya kusimama barabarani mbele ya gari moja, Mshtuko umekuja baada ya kushangaa hili gari linaunguruma wakati ndani hakuna mtu na kama linatikisika kwa mbali. Ndo kukodoa macho kupitia kioo cha mbele nashangaa kuona jamaa yuko busy anapanda juu na kushuka chini. Mhh nimeshtuka sana aisee maana ni mchana muda wa saa tisa gari limepakiwa tuu chini ya mti.

Nikajiuliza why this? Je wamekosa guest?
Nikapata jibu kuwa wanaofanya huu uchafu ndani ya gari mara nyingi ni wake za watu
Watoto wadogo wa shule Au jinsia moja

Kwa nini nasema hivi kwa sababu haiingii akilini mchana wote huu watu wawe wamejibana kwenye gari wanachoogopa ni nini??? Wamekosa gust bubu hata??

Nyie baadhi ya wanaume wenye mtindo huu muache hayo magari mnapanda na familia zenu, mnaenda nayo makanisani n.k mnayafanya najisi kwa kufanya ngono humo. Ni bora basi mkafanya na wake zenu kwa bahati mbaya.

Kwa upande wangu sijafurahishwa jamani kila mtu ana maono yake au mitizamo yake. Nilichowaza anaweza akawa hata ni mtoto wa jirani yangu au ndugu yangu labda hata anageuzwa humo na libaradhuli aka fataki

By Cajojo/JF

Post a Comment

0 Comments