Ujumbe mzuri wa mapenzi wa kimahaba kumwambia mpenzi wako unavyompenda

Tokeo la picha la love sms

Mpenzi huwa unanipagawisha unaponipumulia pumzi masikioni
nasikia raha.
Niliandika upendo wangu kwako kwenye majani ng'ombe
akala,nikaandika kwenye jiwe mvua ikafuta ,nikaandika
kwenye sms likafutwa lakini nimeandika moyoni mwangu
halitafutika kamwe.

Post a Comment

0 Comments