NENO (NAUMIA) WAKATI WA TENDO LA NDOA NA MWANAMKE LANITATIZA


Kwakifupi ni hivi:-
Kila tufanyapo tendo la ndoa, mwenzangu hutoa kilio pasipo machozi, huku ameikunja sura yake na wakatihuo hutamka neno Naumia... Hii kitu imekua inanipa wakati mgumu na kunifanya nimuonee huruma mpenzi wangu na kumuuliza, nitoke? chakushangazi yeye hukataa na Kuniambia usitoe na huku anuonyesha kufurahia tendo.

Maswali:-
Je, hulia kwa kupata maumivu?
Je, hulia kwa kuhisi raha?
Je, nawengine wanaliaga kama wangu?
Je, hutoa kilio kwa mbwembwe tu?

Naombeni ushauri wenu wakuu

Post a Comment

0 Comments