AMENIPA KISONONO, NIMUACHE AU NIENDELEE NAE???

Nina msichana wangu nimedumu naye miezi miwili sasa.

Ni mzuri balaa na kwa muonekano wa nje anaonekana ni binti anayejisheshimu haswa, nilipata shida sana mpaka kumpata.

Lakini cha ajabu ndo amenipa kisonono. Nimepata hasira sana, natamani kumuacha lakini roho inasita, naona kama sitopata mzuri kama yeye.

Nifanyaje sasa wakuu?

Mnanisaidiaje kwa hili?

Post a Comment

0 Comments