JE, UNAZIFAHAMU HUKUMU ZA DUNIANI ANAZOPATA MWANAMKE ALIYETOA MIMBA??

Watu wanaohusika katika kutoa mimba iwe kuanzia mwanamke mwenyewe, daktari au mwanaume aliyeshiriki zoezi hilo, wanajiweka katika mazingira ya kupata matatizo na kujitia nuksi mbalimbali katika maisha pasipo wenyewe kujua.

HUKUMA ZA DUNIANI KWA UPANDE WA MWANAMKE MTOA MIMBA

Maumivu makali ya tumboKupata uvimbe tumboniMatatizo katika uke(Uke kujaa maji, miwasho na magonjwa mengine)KansaMatatizo wakati wa hedhiMigogoro katika ndoaNdoa kukosa thamani yakeKuzaa kwa operesheni

HUKUMU ZA MWANAUME ALIYECHANGIA ZOEZI LA UTOAJI MIMBA AU HATA MAWAZO YAKE

Kuharibika kwa mipango yake ya maishaKuwa na nuksi mbalimbaliUpungufu wa nguvu za kiumeKupoteza pesa katika mazingira ya kutatanishaKupata magonjwa sugu(Kisukari, Vidonda vya tumbo, Presha)Kusalitiwa na mke na migogoro kuzidi katika ndoa

Je, umekuwa na tatizo la ugumba, utasa au kila mara unaposhika ujauzito kutoka? Umehangaika kwenye mahospital bila mafanikio yeyote? Wasiliana na Mtaalam bingwa wa tiba za asili na mitishamba +255 683 02 59 06 atakupatia huduma bure bila malipo.

Post a Comment

0 Comments